Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Gaza…
Ijumaa, 13 Shawwal 1446 - 11 Aprili 2025
Matembezi yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 13 Shawwal al-Khair 1446 H sawia na tarehe 11 Aprili 2025 M kuanzia Msikiti wa Al-Fath kunusuru watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa ulio mateka, ambayo yaliitishwa na watu wa Zaytouna Tunisia chini ya kichwa: “Gaza Inahitaji Majeshi Kuwapindua Watawala na Kutangaza Jihad”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maoni ya Habari 09/04/2025…
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya…
Al Waqiyah TV: Enyi Majeshi “Mna nini mnapo ambiwa: Nendeni…
Enyi Majeshi “Mna nini mnapo ambiwa: Nendeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu, mnajitia uzito katika…
"Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine, wala…
Mnamo tarehe 31 Machi 2025, jeshi la Kiyahudi lilitoa maagizo makubwa ya kuwahamisha watu wa…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni ya “Majeshi na…
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Maandamano ya Tripoli: “Damu…
zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na…