Uchaguzi wa Kidemokrasia si Lolote ila Minong'ono ya Ibilisi
Ijumaa, 27 Rabi' I 1447 - 19 Septemba 2025
Mnamo 13 Septemba 2025 kinyang’anyiro cha kuwania urais wa Zanzibar kilianza rasmi huku chama tawala – Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo kikizindua kampeni zao. CCM ilisisitiza ‘utulivu’, ‘amani’ na ‘umoja’, huku chama cha ACT Wazalendo kikiweka kipaumbele katika uwajibikaji, usawa, na fursa za kiuchumi.
Kuna Kamba ya Uokozi kwa Sudan – Ichukueni!
Kwa zaidi ya miaka mia moja, ulimwengu umefanywa kuamini kuwa vita katika Ardhi za Waislamu,…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 565
Vichwa Vikuu vya Toleo 565
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Kisimamo cha Port Sudan…
Kujibu kwa takbira, tahlil, na uungaji mkono, pamoja na vyombo vya habari na uhamasishaji wa…
Kukamatwa kwa Mamia ya Waandamanaji Wanaounga Mkono Palestina kwa Amani…
Mnamo Jumamosi, tarehe 6 Septemba, karibu watu 900 walikamatwa katika maandamano ya kuunga mkono Palestina…