Jumapili, 05 Dhu al-Hijjah 1446 | 2025/06/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Ugonjwa wa Kipindupindu Waangamiza Sudan, na Serikali, kwa Uzembe wake, Inaomba Msaada kwa Mashirika ya Kimataifa!

Ugonjwa wa Kipindupindu Waangamiza Sudan, na Serikali, kwa Uzembe wake,…

Jumatano, 1 Dhu al-Hijjah 1446 - 28 Mei 2025

Shirika la Afya Duniani (WHO) limefichua kuwa takriban wagonjwa 60,000 wa kipindupindu wamerekodiwa nchini Sudan, na kusababisha vifo vya zaidi ya 1640, likionya madhara ya kuporomoka kwa mfumo wa afya nchini humu. Ufichuzi huu unakuja wakati kipindupindu kikienea kwa kasi katika Jimbo la Khartoum, ambapo maambukizi mapya yanazidi 90% ya jumla ya nchi, haswa huko Karari, Omdurman, na Ombada. Mnamo Jumanne, 27/5/2025, Wizara ya Afya ya Sudan ilitangaza kurekodi kesi 2729, pamoja na vifo 172, katika wiki moja. Waziri wa Afya wa Sudan Dkt. Haitham Mohamed Ibrahim alisema kuwa kuenea kwa kipindupindu jijini Khartoum kunatokana na kuzorota kwa hali ya...

Afisi ya Habari

Ugonjwa wa Kipindupindu Waangamiza Sudan, na Serikali, kwa Uzembe wake, Inaomba Msaada kwa Mashirika ya Kimataifa!

Ugonjwa wa Kipindupindu Waangamiza Sudan, na Serikali, kwa Uzembe wake, Inaomba Msaada kwa Mashirika ya Kimataifa!

Jumatano, 1 Dhu al-Hijjah 1446 - 28 Mei 2025

Shirika la Afya Duniani (WHO) limefichua kuwa takriban wagonjwa 60,000 wa kipindupindu wamerekodiwa nchini Sudan, na kusababisha vifo vya zaidi ya 1640, likionya madhara ya kuporomoka kwa mfumo wa afy...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Al-Kamel Mohammad Khair

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Al-Kamel Mohammad Khair

Jumanne, 29 Dhu al-Qi'dah 1446 - 27 Mei 2025

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, inamuomboleza kwa macho yenye machozi na nyoyo ziliyoridhika na mapenzi ya Mwenyezi Mungu marehemu: Al-Kamel Mohammad Khair ...

Matoleo

Hatimaye, Dhalimu Trump Anahitimisha Ziara yake katika Kanda hii

Hatimaye, Dhalimu Trump Anahitimisha Ziara yake katika Kanda hii

Jumapili, 20 Dhu al-Qi'dah 1446 - 18 Mei 2025

Trump alianza ziara yake nchini Saudi Arabia mnamo Mei 13, 2025, ikifuatiwa na Qatar mnamo Mei 14, 2025, akihitimisha safari yake nchini Imarati mnamo Mei 15, 2025, na kuhitimisha ziara yake mnamo Mei...

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Gaza inahitaji kuingia kwa majeshi ya Waislamu, sio tu misaada ya kibinadamu!

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Gaza inahitaji kuingia kwa majeshi ya Waislamu, sio tu misaada ya kibinadamu!

Jumapili, 20 Dhu al-Qi'dah 1446 - 18 Mei 2025

Taarifa ya mwisho ya Mkutano wa Waarabu, ulioandaliwa na mji mkuu wa Iraq, Baghdad mnamo tarehe 17 Mei 2025, ilisisitiza haja ya kuleta misaada ya kibinadamu mjini Gaza. Watawala wa Waislamu, Waarabu ...

Jibu la Swali: Mashambulizi ya Droni na Yanayojiri katika Vita nchini Sudan

Jibu la Swali: Mashambulizi ya Droni na Yanayojiri katika Vita nchini Sudan

Jumatano, 23 Dhu al-Qi'dah 1446 - 21 Mei 2025

Siku za hivi karibuni zimeshuhudia maendeleo ya ajabu katika vita. Droni zilishambulia Port Sudan, mji mkuu wa utawala, kwa siku sita mfululizo, na kushambulia uwanja wa ndege wa kiraia, kambi ya anga...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Kisimamo cha Nusra Mbele ya Bunge la Lebanon kwa ajili ya Waislamu waliowekwa Kizuizini!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Kisimamo cha Nusra Mbele ya Bunge la Lebanon kwa ajili ya Waislamu waliowekwa Kizuizini!

Alhamisi, 17 Dhu al-Qi'dah 1446 - 15 Mei 2025

Kisimamo cha Nusra Mbele ya Bunge la Lebanon kwa ajili ya Waislamu waliowekwa Kizuizini kilicho andaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon. ...

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Ummah na Majeshi Yake Lazima Ukatae Uhalalishaji Mahusiano na Mayahudi na Mabaniani!

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Ummah na Majeshi Yake Lazima Ukatae Uhalalishaji Mahusiano na Mayahudi na Mabaniani!

Jumatano, 16 Dhu al-Qi'dah 1446 - 14 Mei 2025

Vyanzo vya kimatibabu vimeandika kuuawa shahidi kwa Wapalestina wasiopungua 42 kutokana na ulipuaji mabomu wa umbile la Kiyahudi katika Ukanda wa Gaza tangu alfajiri ya Jumatatu, 12 Mei 2025. Uvamizi ...

Habari

Unachokitafuta Kinakutafuta wewe

Unachokitafuta Kinakutafuta wewe

Ijumaa, 3 Dhu al-Hijjah 1446 - 30 Mei 2025

Islamabad, Pakistan – Baraza la mawaziri la Pakistan mnamo Jumanne lilimpandisha cheo Jenerali Syed Asim Munir, mkuu wa jeshi la nchi hiyo, hadi cheo cha field marshal, kufuatia mzozo wa hivi majuzi w...

Ulimwenguni wa Kusini na Mfumo Mpya wa Ulimwengu – Tumaini au Sarabi?

Ulimwenguni wa Kusini na Mfumo Mpya wa Ulimwengu – Tumaini au Sarabi?

Alhamisi, 2 Dhu al-Hijjah 1446 - 29 Mei 2025

Mnamo Aprili 2025, wakati wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa BRICS nchini Brazil, Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia Datuk Seri Mohamad Hasan alitoa ujumbe ulio wazi: ulimwengu hauwezi tena kut...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu